Page 1 of 1

Vipi naweza kupata Internet ya Fiber nyumbani kwangu ?

Posted: Tue Mar 24, 2026 10:16 am
by webmaster
TTCL wanatoa huduma za Internet iwe nyumbani, Biashara yako (yaani ofisini) na hata mashirika makubwa ?

Unaweza kuanza kwa kujaza maombi ya awali kwa kupitia kiungo hiki: https://fiber.ttcl.co.tz/application/#/home

Kwa msaada zaidi unaweza kuwasiliana nao kwa anuani hii: itsupport@ttcl.co.tz