Vipi naweza kupata Internet ya Fiber nyumbani kwangu ?
Posted: Tue Mar 24, 2026 10:16 am
TTCL wanatoa huduma za Internet iwe nyumbani, Biashara yako (yaani ofisini) na hata mashirika makubwa ?
Unaweza kuanza kwa kujaza maombi ya awali kwa kupitia kiungo hiki: https://fiber.ttcl.co.tz/application/#/home
Kwa msaada zaidi unaweza kuwasiliana nao kwa anuani hii: itsupport@ttcl.co.tz
Unaweza kuanza kwa kujaza maombi ya awali kwa kupitia kiungo hiki: https://fiber.ttcl.co.tz/application/#/home
Kwa msaada zaidi unaweza kuwasiliana nao kwa anuani hii: itsupport@ttcl.co.tz