Shirika la anga za juu la Marekani NASA linaendelea kuubadilisha mpango wake wa utafiti wa mwezi na linapanga uwepo wa kudumu wa binadamu mwezini. Akizungumza mjini Washington, Msimamizi wa NASA Jared Isaacman amesema kuwa muda unayoyoma katika ushindani huu wa madola yenye nguvu, na mafanikio au kushindwa kwa mbio hizo kutapimwa katika kipindi cha miezi na sio miaka. Amesema NASA itawekeza karibu dola bilioni 20 kwa kipindi cha miaka saba ijayo na kujenga kituo cha utafiti mwezini ambapo kutakuwa na safari kadhaa zitakazofanywa na wanaanga.
NASA ilitangaza mbinu ya ujenzi wa kituo hicho kwa awamu, ikisimamisha kwa muda kituo cha anga za juu cha Gateway kinachozunguka mwezi katika muundo wake wa sasa na kuelekeza malengo yake kwa miundombinu inayowezesha shughuli endelevu kwenye uso wa mwezi.
Kituo cha utafiti cha Gateway kilikuwa kimepangwa pamoja na Shirika la Anga za Juu la Ulaya (ESA) na kilikusudiwa kuwa kituo cha matumizi ya misheni za wanadamu kwenda mwezini na kwa misheni za kwenda Sayari Nyekundu au Mars.
NASA yapanga kujenga kituo cha utafiti mwezini
- webmaster
- Site Admin
- Posts: 124
- Joined: Mon Mar 23, 2026 11:03 am
- Location: Pemba
- Contact:
Return to “General discussion (off-topic)”
Jump to
- General
- ↳ Your first forum
- Programming & Development
- ↳ Web Development
- ↳ Mobile App Development
- ↳ Backend Development
- ↳ Frameworks & Libraries
- Networking & Internet
- ↳ Network setup (LAN, WAN)
- ↳ Cybersecurity basics
- ↳ Internet troubleshooting
- ↳ Server management
- Tech Support (Msaada wa Kiufundi)
- ↳ Computer troubleshooting
- ↳ Software issues
- ↳ Hardware problems
- ↳ “Help me fix this”
- Simu & Gadgets
- ↳ Android phones
- ↳ iPhone
- ↳ Reviews za vifaa (laptops, accessories)
- ↳ Tips & tricks
- Emerging Technologies
- ↳ Artificial Intelligence (AI)
- ↳ Machine Learning
- ↳ Blockchain & Cryptocurrency
- ↳ Internet of Things (IoT)
- Learning & Resources
- ↳ Tutorials
- ↳ Free courses & books
- ↳ Coding challenges
- ↳ Career advice (CV, interviews)
- ↳ Nafasi za kazi (IT jobs)
- ↳ Freelancing
- ↳ Internships
- Community Lounge
- ↳ General discussion (off-topic)
- ↳ Tech news
- ↳ Events & meetups
- Local Tech
- ↳ Tech Tanzania
- ↳ Startups za Tanzania
- ↳ Internet providers (reviews & experience)
- ↳ Local opportunities
- International Open University
- ↳ TUTORIALS FOR FRESHMEN/MUONGOZO KWA WANAFUNZI WAPYA
- ↳ IOU Campus
- ↳ Accreditation/Kutambulika kwa chuo
- Psychology
- ↳ Clinical Psychology / Saikolojia ya Kliniki
- ↳ Industrial-Organizational Psychology / Saikolojia ya Viwanda na Shirika (Kazi)
- ↳ Educational Psychology / Saikolojia ya Elimu
- Ask Sheikh / Muulize Sheikh
- ↳ Masuala ya Kisasa na Teknolojia
- ↳ Mapendekezo na Maoni ya Forum
- ↳ Mawazo ya kuboresha forum
- ↳ Aqeedah (Itikadi)
- ↳ Fiqh ya Ibada
- ↳ Fiqh ya Familia
- ↳ Fiqh ya Muamala
- ↳ Qur'an na Tafsiri
- ↳ Hadith na Sunnah
- ↳ Fatwa na Maswali ya Kila Siku
- ↳ Dawah na Akhlaq
- ↳ Vijana na Elimu
- ↳ Wanawake katika Uislamu
- ↳ Historia ya Uislamu
Who is online
Users browsing this forum: No registered users and 0 guests